Karibu Sana Katika Blog Yako Pendwa ya JoelCustomer Kisima Cha Elimu Dunia,Habari na Burudani.

Sunday, 26 November 2017

TAZAMA ALICHOKIJIBU MHESHIMIWA LOWASA KUHUSU TETESI ZA YEYE KUTAKA KUONGEA NA MHE.RAIS

“Mimi hizo habari nimezisikia kutoka kwenu na nimezisikia leo taarifa hizo sio za kweli sijaomba kukutana na Rais na nashangaa kwa nini Mkuu wa Mkoa mzima anasema uongo na anaachiwa bila kuchukuliwa hatua, nataka kumwambia aache uongo na sina mpango wa kurudi CCM” >>> Edward Lowassa

No comments:

Post a Comment