Karibu Sana Katika Blog Yako Pendwa ya JoelCustomer Kisima Cha Elimu Dunia,Habari na Burudani.

Saturday, 9 December 2017

BABU SEYA AACHIWA HURU

Leo katika sherehe za madhimisho ya miaka 56 ya uhuru yaliyofanyika kitaifa mkoani dodoma rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr Magufuli akiongea na wananchi amesamehe maelfu ya wafungwa zaidi ya elfu nane akiwemo babu  SEYA na MWANAE akiagiza waachiwe kuanzia sasa 

No comments:

Post a Comment