Karibu Sana Katika Blog Yako Pendwa ya JoelCustomer Kisima Cha Elimu Dunia,Habari na Burudani.

Friday, 1 December 2017

MHE. JOSHUA NASSARI AVAMIWA NA WATU WENYE SIRAHA KALI USIKU WA KUAMKIA LEO



Kutoka katika Akaunti yake ya Twitta inasema kuwa Mh Nassari Joshua amevamiwa na watu waliekuwa na silaha za moto, na wao baada ya kuwagundua waliamua kukimbilia kituo cha polisi yeye pamoja na mkewe ili kuokoa.


No comments:

Post a Comment