Karibu Sana Katika Blog Yako Pendwa ya JoelCustomer Kisima Cha Elimu Dunia,Habari na Burudani.

Wednesday, 22 November 2017

SAKATA LA KUKATIKA KATIKA KWA UMEME NCHINI KUPATA UFUMBUZI

Serikali imesema tatizo la umeme kukatika mara kwa mara lililojitokeza siku za kariubini ni kutokana na matengenezo yanayofanyika kwenye vituo vya kufulia umeme

Waziri wa Nishati na madini amesema kufikia Desemba mwaka huu tatizo hilo litakuwa limeisha kwa kuwa mitambo yote itakuwa imekarabatiwa

Pia amewaonya wakandarasi waliopewa mradi wa REA awamu ya tatu wahakikishe kufikia mwezi Desemba wawe wameanza kazi baada ya kujiridhisha na uzalishaji wa transfoma katika kiwanda cha Tana Lake 

Mahitaji ya transfoma kwa mwaka ni 600 na kiwanda hicho kinazalisha transfoma 10,000 kwa mwaka na hivyo kuwa nauwezo wa kuhudumia soko la ndani na la nje .kwa habari nyingine zaidi usiache kutumbelea joelcustomer blog.com

No comments:

Post a Comment